WENYEJI, Everton wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Chelsea katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Goodison Park Jijini Liverpool. Mabao ya Everton yamefungwa na Abdoulaye Doucoure dakika ya 54 na Lewis Dobbin dakika ya 90 na ushei na sasa wanafikisha pointi 13, ingawa wanabaki nafasi ya 16, wakati Chelsea inabaki na pointi zake 19 nafasi ya 12 baada ya wote kucheza mechi 16.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment