// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
SALAH AISAWAZISHIA LIVERPOOL YAPATA SARE 1-1 NA ARSENAL ANFIELD - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINESALAH AISAWAZISHIA LIVERPOOL YAPATA SARE 1-1 NA ARSENAL ANFIELD - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
SALAH AISAWAZISHIA LIVERPOOL YAPATA SARE 1-1 NA ARSENAL ANFIELD
WENYEJI, Liverpool FC jana walitoka nyuma na kupata sare ya kufungana bao 1-1 na Arsenal FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa, Anfield Jijini Liverpool. Washika Bunduki wa London walitangulia na bao la Gabriel Magalhães dakika ya 14, kabla ya Mohamed Salah kuisawazishia Liverpool dakika ya 29. Kwa matokeo hayo, Arsenal inafikisha pointi 40 na kuendelea kuongoza ligi kwa pointi moja zaidi ya Liverpool baada ya wote kucheza mechi 18.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment