// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
TANZANIA BARA YATWAA NAFASI YA TATU CECAFA U18, UGANDA BINGWA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINETANZANIA BARA YATWAA NAFASI YA TATU CECAFA U18, UGANDA BINGWA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
TANZANIA BARA YATWAA NAFASI YA TATU CECAFA U18, UGANDA BINGWA
TANZANIA Bara imemaliza nafasi ya tatu katika michuano ya vijana chini ya umri wa miaka 18 (CECAFA U18) leo baada ya ushindi wa 3-1 dhidi ya Rwanda Uwanja wa Jomo Kenyatta mjini Kisumu nchini Kenya. Mabao ya Tanzania Bara inayofundishwa na kocha yamefungwa na Zidane Ally dakika ya 19, Said Said dakika ya 26 na Misheto dakika ya 49, wakati la Rwanda limefungwa na Didier dakika ya 37. Katika mchezo wa Fainali Uganda wamefanikiwa kubeba taji hilo kwa ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Kenya katika mchezo uliokwenda hadi dakika ya 120 kufuatia sare ya 1-1 ndania ya dakika 90 hapo hapo Uwanja wa Jomo Kenyatta.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment