BAO pekee la Maabad Maulid dakika ya 87 limetosha kuipa Coastal Unión ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, JKT Tanzania leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam.
Kwa ushindi huo, Coastal Unión inafikisha pointi 19 na kusogea nafasi ya sita, wakati JKT Tanzania inabaki na pointi zake 16 nafasi ya saba baada ya wote kucheza mechi 14.
0 comments:
Post a Comment