// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
CHELSEA YAICHAPA SHEFFIELD UNITED 2-0 STAMFORD BRIDGE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINECHELSEA YAICHAPA SHEFFIELD UNITED 2-0 STAMFORD BRIDGE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
CHELSEA YAICHAPA SHEFFIELD UNITED 2-0 STAMFORD BRIDGE
WENYEJI, Chelsea FC wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Sheffield United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja Stamford Bridge Jijini London. Mabao ya Chelsea leo yamefungwa na Cole Palmer dakika ya 54 na Nicolas Jackson dakika ya 61 na kwa ushindi huo wanafikisha pointi 22 na kusogea nafasi ya 10, wakati Sheffield United inabaki na pointi zake nane na kuendelea kushika mkia baada ya wote kucheza mechi 17.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment