// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
ARSENAL YAICHAPA WOLVES 2-1 NA KUTANUA UONGOZI ENGLAND - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEARSENAL YAICHAPA WOLVES 2-1 NA KUTANUA UONGOZI ENGLAND - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
ARSENAL YAICHAPA WOLVES 2-1 NA KUTANUA UONGOZI ENGLAND
WENYEJI, Arsenal FC wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Wolverhampton Wanderers katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates Jijini London. Mabao ya Arsenal yamefungwa na Bukato Saka dakika ya sita na Martin Odegaard dakika ya13, wakati bao la Wolves limefungwa na Matheus Cunha dakika ya 86. Kwa ushindi huo, Arsenal wanafikisha pointi 33 katika mchezo wa 14 na kuendelea kuongoza ligi kwa pointi nne zaidi ya mabingwa watetezi, Manchester City ambao wana mechi moja mkononi, wakati Wolves inabaki na pointi zake 15 za mechi 14 nafasi ya 13.
Diving duo win Team GB's first medal of Paris 2024
-
Watch as Great Britain's Scarlett Mew Jensen and Yasmin Harper secure GB's
first bronze medal as they scored over 300 points in Women's synchronised
3m spr...
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment