SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeufungulia Uwanja wa Ally Hassan Mwinyi mjini Tabora unaotumiwa na Tabora United baada ya kufanyiwa marekebisho yaliyohjitajika, Ally Hassan Mwinyi utaanza kutumika baada ya mchezo baina ya Tabora United na Yanga Jumamosi ambao utachezwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma, kwani kwa mujibu wa kanuni ni siku saba Uwanja kuanza kutumika baada ya kufunguliwa.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment