WENYEJI, Wolverhampton Wanderers wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Chelsea FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Molineux mjini Wolverhampton, West Midlands. Mabao ya Wolves yamefungwa na Mario Lemina dakika ya 51 na Matt Doherty dakika ya 90 na ushei, kabla ya Christopher Nkunku kuifungia Chelsea bao la kufutia machozi dakika za mwisho wa muda ziada. Kwa ushindi huo, Wolves wanafikisha pointi 22, sawa na Chelsea lakini wanabaki nafasi ya 11 wakizidiwa wastani wa mabao na The Blues baada ya wote kucheza mechi 18.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment