• HABARI MPYA

    Tuesday, December 19, 2023

    GEITA GOLD YAFUNGIWA KUSAJILI HAIJAMLIPA BEKI MGHANA FEDHA ZAKE


    SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA) limeifungia klabu ya Geita Gold kufanya usajili hadi itakapomlipa beki Mghana, Shawn Oduro aliyepeleka malalamiko yake kwenye bodi hiyo ya soka duniani. 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: GEITA GOLD YAFUNGIWA KUSAJILI HAIJAMLIPA BEKI MGHANA FEDHA ZAKE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top