// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
LIVERPOOL YAICHAPA SHEFFIELD UNITED 2-0 BRAMALL LANE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINELIVERPOOL YAICHAPA SHEFFIELD UNITED 2-0 BRAMALL LANE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
LIVERPOOL YAICHAPA SHEFFIELD UNITED 2-0 BRAMALL LANE
TIMU ya Liverpool FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wenyeji, Sheffield United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Bramall Lane mjini Sheffield. Mabao ya Liverpool yamefungwa na beki Mholanzi, Virgil van Dijk dakika ya 37 na kiungo wa Kimataifa wa Hungary, Dominik Szoboszlai dakika ya 90 na ushei. Kwa ushindi huo, Liverpool inafikisha pointi 34, ingawa inabaki nafasi ya pili ikizidiwa pointi mbili na vinara, Arsenal baada ya wote kucheza mechi 15, wakati Sheffield United inaendelea kushika mkia na pointi zake tano za mechi 15 pia.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment