• HABARI MPYA

    Friday, December 22, 2023

    UWANJA WA MKAPA WAFUNGWA KWA UKARABATI HADI OKTOBA MWAKANI


    WIZARA ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imeufungia Uwanja wa Benjamín Mkapa Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya matengenezo hadi Oktoba mwaka 2024.
    Taarifa ya Wizara haijatoa ufafanuzi juu ya agizo hilo kwamba litahusu na mechi za Kimataifa pia, au kwa mechi za mashindano ya nyumbani pekee.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: UWANJA WA MKAPA WAFUNGWA KWA UKARABATI HADI OKTOBA MWAKANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top