// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); BUSWITA AING’ARISHA NAMUNGO FC DHIDI YA DODOMA JIJI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BUSWITA AING’ARISHA NAMUNGO FC DHIDI YA DODOMA JIJI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Sunday, December 03, 2023

    BUSWITA AING’ARISHA NAMUNGO FC DHIDI YA DODOMA JIJI


    BAO pekee la kiungo Pius Buswita dakika ya 56 limeipa Namungo FC ushindi wa 1-0 dhidi ya Dodoma Jiji FC leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa Majaliwa, Ruangwa mkoani Lindi.
    Kwa ushindi huo, Namungo FC inafikisha pointi 14 na kusogea nafasi ya nane, wakati Dodoma Jiji inabaki na pointi zake 15 nafasi ya saba baada ya wote kucheza mechi 12.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BUSWITA AING’ARISHA NAMUNGO FC DHIDI YA DODOMA JIJI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top