// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
BENO KAKOLANYA AFUNGIWA NA FAINI JUU KWA MATUSI NA UGOMVI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEBENO KAKOLANYA AFUNGIWA NA FAINI JUU KWA MATUSI NA UGOMVI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
BENO KAKOLANYA AFUNGIWA NA FAINI JUU KWA MATUSI NA UGOMVI
KIPA wa Singida Fountain Gate, Benno David Kakolanya amefungiwa mechi tatu na kutozwa Faini ya Sh. Milioni 1 kwa kosa la kujaribu kumshambulia kiongozi wa Coastal Union, Juma Kindo na kumtolea maneno machafu wakati wa mchezo baina ya timu hizo Novemba 27 Uwanja wa LITI, Singida. Katika mchezo huo ambao Singida Fountain Gate walishinda 2-1, pia kama timu wametozwa Faini ya Sh. Milioni 1 kwa kosa la kuingia uwanjani wakati Coastal Union wanafanya mazoezi siku moja kabla ya mchez huo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment