// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); DIAMOND PLATNUMZ APAGAWISHA WABONGO MAREKANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE DIAMOND PLATNUMZ APAGAWISHA WABONGO MAREKANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Monday, December 08, 2014

    DIAMOND PLATNUMZ APAGAWISHA WABONGO MAREKANI


    Rais wa Wasafi Diamond Platnumz akiwa pamoja na wacheza showa wake Roma Tonsa na Moses Iyobo wakitoa burudani katika kunogesha sherehe ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara iliyofanyika Sheraton Hotel ya Silver Spring, Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa na mashabiki wake kutoka kila pembe ya Marekani huku mashabiki wengine wakitokea Tanzania.
    Balozi akimshukuru Diamond kwa kuwezesha kunogesha usiku wa Uhuru wa Tanzania na pia aliwashukuru wadhamini wa sherehe hiyo ya moaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara.
    Diamond akizidi kuwapa burudani mashabiki wake. , Picha na Vijimambo 
    Shabiki akicheza wimbo wa mdogo mdogo
    Shabiki akijumuika na Diamond kwenye jukwaa.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DIAMOND PLATNUMZ APAGAWISHA WABONGO MAREKANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top