• HABARI MPYA

    Friday, December 26, 2014

    COSTA APIKA MOJA, AFUNGA MOJA CHELSEA YAUA 2-0

    TIMU ya Chelsea leo imeshinda mechi ya tatu mfululizo ya Ligi Kuu ya England baada ya kuichapa West Ham United mabao 2-0 Uwanja wa Stamford Bridge, London.
    Beki na Nahodha, John Terry aliifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 31 akimalizia kazi nzuri ya mshambuliaji Diego Costa.
    Diego Costa mwenyewe akafunga bao la pili dakika ya 62 akimalizia pasi ya Eden Hazard, kabla ya kumpisha mkongwe Didier Drogba dakika ya 83.
    Costa scored on the hour as he fired into the far corner beyond West Ham goalkeeper Adrian to double Chelsea's lead at Stamford Bridge
    Costa akiifungia bao la pili Chelsea Uwanja wa Stamford Bridge

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2887468/Chelsea-2-0-West-Ham-John-Terry-Diego-Costa-send-Premier-League-leaders-straight-victory-expense-Hammers.html#ixzz3N13xu0LE 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: COSTA APIKA MOJA, AFUNGA MOJA CHELSEA YAUA 2-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top