• HABARI MPYA

    Wednesday, December 24, 2014

    AZAM FC WAZINDUA KADI WANACHAMA

    Shabiki wa Azam FC kulia akifurahia kadi yake ya unachama baada ya kukabidhiwa jana katika sherehe za uzinduzi wa kadi hizo jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Mgeni rasmi alikuwa Naibu Waziri wa Habari, Utramaduni na Michezo Alhaj Juma Nkamia. 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC WAZINDUA KADI WANACHAMA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top