Mshambuliaji kinda wa Liverpool, Raheem Sterling akiwa ameshika tuzo yake ya Mwanasoka Bora chipukizi wa Ulaya mwaka 2014 baada ya kukabidhiwa jana Uwanja wa Anfield kabla ya timu yake hiyo kumenyana na Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu ya England uliomalizika kwa sare ya 2-2.
Mourinho says he agreed to replace Ferguson at Man Utd
-
David Moyes succeeded Sir Alex Ferguson at Old Trafford in 2013 but things
could have been so different, Jose Mourinho reveals in a new documentary.
3 hours ago


.png)
0 comments:
Post a Comment