// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); BABU PLUIJM ALIVYOANZA KAZI JANA YANGA SC - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BABU PLUIJM ALIVYOANZA KAZI JANA YANGA SC - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Sunday, December 21, 2014

    BABU PLUIJM ALIVYOANZA KAZI JANA YANGA SC

    Kocha Hans van der Pluijm akimpa maelekezo mshambuliaji Mliberia wa Yanga SC, Kpah Sherman wakati wa mazoezi ya timu hiyo jana Uwanja wa sekondari ya Loyola, Mabibo, Dar es Salaam. Pluijm ameanza rasmi kazi jana baada ya kurejeshwa kuchukua nafasi ya Mbrazil, Marcio Maximo aliyefukuzwa mwanzoni mwa wiki.
    Hapa Mholanzi huyo anazungumza na kiungo Mbrazil, Andrey Coutinho
    Hapa anazungumza na kocha Msaidizi, Salvatory Edward

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BABU PLUIJM ALIVYOANZA KAZI JANA YANGA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top