BEKI Aurelien Chedjou (pichani kushoto) ameitwa kwenye kikosi cha Cameroon jana baada ya kutoitwa kwa miezi sita ili akazibe pengo la Brice Nlate kuelekea Fainali za Mataifa ya Afrika mwakani. Chedjou hajaichezea nchi yake tangu Kombe la Dunia mwaka huu, lakini kuumia goti kwa Nlate katika ajali ya gari kiasi cha kutoweza kushiriki michuano hiyo ya timu 16 Equatorial Guinea kuanzia Januari 17 kunamrudisha kikosini. Chedjou mwenye umri wa miaka 29, anayechezea Galatasaray ya Uturuki, ni miongoni mwa wachezaji wakongwe ambao muda wao kuichezea timu ya taifa ulionekana kupita, baada ya Cameroon kufungwa mechi zote tatu za kundi lake kwenye Kombe la Dunia Brazil.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment