• HABARI MPYA

    Thursday, December 25, 2014

    CASILLAS WA SIMBA SC ANAVYOJIFUA VIKALI UFUKWENI KIGAMBONI

    Kipa majeruhi wa Simba SC, Hussein Sharrif 'Casillas' anayepambana kuwa fiti tena, akijifua katika ufukwe wa Kigamboni, eneo la Ng'onda Beach, Dar es Salaam leo.
    Casillas aliumia Afrika Kusini Oktoba mwaka huu ambako Simba SC ilikuwa imeweka kambi kujiandaa na mechi na Yanga SC
    Kipa huyo wa zamani wa Mtibwa Sugar alichanika ugoko baada ya kukanyagwa na kiatu cha mchezaji wa Orlando Pirates katika mchezo wa kirafiki 

    Casillas kwa sasa anajifua vikali ili mapema mwakani arudi uwanjani
    Casillas akifanya mazoezi ya nguvu ufukwe wa Ng'onda

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CASILLAS WA SIMBA SC ANAVYOJIFUA VIKALI UFUKWENI KIGAMBONI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top