// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); SIMBA SC YAIBUA KIPA MWINGINE KINDA HATARI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SIMBA SC YAIBUA KIPA MWINGINE KINDA HATARI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Thursday, December 25, 2014

    SIMBA SC YAIBUA KIPA MWINGINE KINDA HATARI

    Kipa wa Simba B, Dennis Richard jana aliidakia Simba A jana katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Taifa ya Jang'ombe Uwanja wa Amaan, Zanzibar na kuvutia mashabiki, Wekundu wa Msimbazi wakishinda 3-1. Dan Sserunkuma alifunga mabao mawili na moja Mohammed Hussein 'Tshabalala'. Kwa sasa Simba A ina makipa wawili, Ivo Mapunda na Peter Manyika, wakati Hussein Sharrif 'Casillas' ni majeruhi, hivyo Dennis amepandishwa timu A. 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC YAIBUA KIPA MWINGINE KINDA HATARI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top