Kocha wa Mtibwa Sugar, Mecky Mexime |
Mchezo huo ulivunjika dakika ya sita jana kutokana na mvua na ukaendelea asubuhi ya leo na timu hizo kufungana 1-1.
Mtibwa inabaki kileleni mwa Ligi Kuu kwa kufikisha pointi 16 baada ya mechi nane, ikifuatiwa na Azam FC na Yanga zenye pointi 13 kila mmoja baada ya mechi saba, ambazo zinamenyana jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment