• HABARI MPYA

    Wednesday, July 15, 2026

    KIPRE JUNIOR AREJEA AZAM FC

     WINGA Muivory Coast, Kipré Tiagori Emmanuel Junior Zunon ‘Kipre Junior’ amejiunga tena na Azam FC akitokea MC Algiers ya Algeria.✍️

    “Tunayo furaha kuwataarifu kuwa tumemrejesha nyota wetu wa zamani, @kipre_junior10, baada ya kumnunua kutoka klabu ya @mcalger.officiel. ✍️ Welcome back home, @kipre_junior10 🙏 “ wameandika Azam FC kwenye page yao.

    Kipre Junior anarejea Azam FC ambako awali alicheza kuanzia msimu wa 2022-2023 akitokea SOL FC d’Abobo ya kwao, Ivory Coast hadi 2024-2025 alipohamia MC Algiers.🚨

    Next
    This is the most recent post.
    Older Post
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KIPRE JUNIOR AREJEA AZAM FC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top