WINGA Muivory Coast, Kipré Tiagori Emmanuel Junior Zunon ‘Kipre Junior’ amejiunga tena na Azam FC akitokea MC Algiers ya Algeria.✍️
“Tunayo furaha kuwataarifu kuwa tumemrejesha nyota wetu wa zamani, @kipre_junior10, baada ya kumnunua kutoka klabu ya @mcalger.officiel. ✍️ Welcome back home, @kipre_junior10 🙏 “ wameandika Azam FC kwenye page yao.
Kipre Junior anarejea Azam FC ambako awali alicheza kuanzia msimu wa 2022-2023 akitokea SOL FC d’Abobo ya kwao, Ivory Coast hadi 2024-2025 alipohamia MC Algiers.🚨


.png)
0 comments:
Post a Comment