• HABARI MPYA

    Wednesday, July 15, 2026

    KIPRE JUNIOR AREJEA AZAM FC KUTOKA MC ALGIERS YA ALGERIA


    WINGA Muivory Coast, Kipré Tiagori Emmanuel Junior Zunon ‘Kipre Junior’ amejiunga tena na Azam FC akitokea MC Algiers ya Algeria.
    “Tunayo furaha kuwataarifu kuwa tumemrejesha nyota wetu wa zamani, Kipre Junior baada ya kumnunua kutoka klabu ya MC Algiers. Karibu tena nyumbani,“ wameandika Azam FC kwenye ukurasa wao.
    Kipre Junior anarejea Azam FC ambako awali alicheza kuanzia msimu wa 2022-2023 akitokea SOL FC d’Abobo ya kwao, Ivory Coast hadi 2024-2025 alipohamia MC Algiers.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KIPRE JUNIOR AREJEA AZAM FC KUTOKA MC ALGIERS YA ALGERIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top