Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Manchester City dakika ya 88 ikitoka nyuma kwa mabao 2-0 na kuilaza Swansea City 3-2 katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Liberty. Mabao mengine ya Man City yalifungwa na Bernardo Silva dakika ya 69 na kipa Kristoffer Nordfeldt aliyejifunga dakika ya 78, wakati ya Swansea yamefungwa na Matt Grimes kwa penalti dakika ya 20 na Bersant Celina dakika ya 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
After nearly 20 years in Abuja, Sa’idu Yusuf loses APC primary
-
After nearly two decades in federal politics, Sa’idu Yusuf Miga has lost
his bid to return to the House of Representatives after failing to secure
the Al...
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment