Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Manchester City dakika ya 88 ikitoka nyuma kwa mabao 2-0 na kuilaza Swansea City 3-2 katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Liberty. Mabao mengine ya Man City yalifungwa na Bernardo Silva dakika ya 69 na kipa Kristoffer Nordfeldt aliyejifunga dakika ya 78, wakati ya Swansea yamefungwa na Matt Grimes kwa penalti dakika ya 20 na Bersant Celina dakika ya 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
West Ham 2-2 Brentford (pens 5-3): Hammers earn FA Cup quarter-final spot
after nerve-wracking clash - after Dango Ouattara hits EMBARRASSING
spot-kick
-
LUKE POWER AT THE LONDON STADIUM: West Ham booked their place in the
quarter-finals of the FA Cup for the first time in a decade - and had a
woeful Panenka...
49 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment