• HABARI MPYA

    Wednesday, June 02, 2021

    YANGA SC YAMREJESHA MADARAKANI KATIBU MKUU WAKILI MSOMI SIMON PATRICK ALIYESIMAMISHWA NOVEMBA 8 MWAKA JANA

     KLABU ya Yanga SC imemrejesha katika nafasi yake, Katibu Mkuu Wakili Simon Patrick baada ya kubaini tuhuma zilizosababishwa asimamishwe Novemba 8 mwaka jana hazina ukweli.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC YAMREJESHA MADARAKANI KATIBU MKUU WAKILI MSOMI SIMON PATRICK ALIYESIMAMISHWA NOVEMBA 8 MWAKA JANA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top