MABAO ya Kylian Mbappe dakika ya 34, Antoine Griezmann dakika ya 47 na Ousmane Dembele dakika ya 79 jana yaliipa Ufaransa ushindi wa 3-0 dhidi ya Wales katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Allianz Riviera Jijini Nice - siku ambayo Karim Benzema alikosa penalti akiichezea nchi yake kwa mara ya kwanza baada ya miaka sita
Ryan Peniston BEATS Henri Laaksonen to claim his first ever win at a Grand Slam
-
British wildcard Ryan Peniston beat Henri Laaksonen 6-4 6-3 6-2 on Tuesday
morning to secure his first ever win at a Grand Slam.
Dakika 20 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni