// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MBUNGE TARIMBA ABBAS NA NAHODHA WA ZAMANI WA TAIFA STARS, ALLY MAYAY WACHUKUA FOMU KUGOMBEA URAIS WA TFF DHIDI WALLACE KARIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMBUNGE TARIMBA ABBAS NA NAHODHA WA ZAMANI WA TAIFA STARS, ALLY MAYAY WACHUKUA FOMU KUGOMBEA URAIS WA TFF DHIDI WALLACE KARIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MBUNGE TARIMBA ABBAS NA NAHODHA WA ZAMANI WA TAIFA STARS, ALLY MAYAY WACHUKUA FOMU KUGOMBEA URAIS WA TFF DHIDI WALLACE KARIA
MBUNGE wa jimbo la Kinondoni (CCM), Tarimba Gullam Abbas amechukua fomu kuwania Urais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) katika uchaguzi uliopangwa kufanyika Agosti 7 Jijini Tanga. Pamoja na Tarimba, Rais wa zamani wa klabu ya Yanga, wengine waliochukua fomu leo ni Nahodha na kiungo wa zamani wa klabu hiyo na timu ya taifa, Ally Mayay Tembele. Wawili hao wanafanya idadi ya jumla ya wagombea saba wa nafasi ya Urais pekee, akiwemo Rais anayemaliza muda wake, Wallace John Karia anayeomba tena ridhaa, Oscar Oscar, Deogratius Mutungi, Evans Mgeusa na Zahor Mohammed Hajji.
Item Reviewed: MBUNGE TARIMBA ABBAS NA NAHODHA WA ZAMANI WA TAIFA STARS, ALLY MAYAY WACHUKUA FOMU KUGOMBEA URAIS WA TFF DHIDI WALLACE KARIA
Rating: 5
Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment