YANGA SC YAACHANA NA KOCHA WA TIMU YAKE YA WANAWAKE, EDNA LEMA ALIYEOMBA MWENYEWE KUJIUZULU KAZI PRINCESS
KOCHA wa timu ya wanawake ya Yanga, Yanga Princess, Edna Lema amejiuzulu nafasi hiyo baada ya misimu mawili ya kuiongoza timu hiyo. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na klabu hiyo leo, Lema aliomba kujiuzulu nafasi yake ya ukocha na uongozi wa timu hiyo umeridhia ombi hilo.
Item Reviewed: YANGA SC YAACHANA NA KOCHA WA TIMU YAKE YA WANAWAKE, EDNA LEMA ALIYEOMBA MWENYEWE KUJIUZULU KAZI PRINCESS
Rating: 5
Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
Marcus Rashford wants Man United stay
-
Marcus Rashford doesn't want to move away from Manchester United as he
feels he still has a huge role to play. The striker's attitude has been
questioned b...
Trilioni 3.867 Kuimarisha Ujenzi, Uchukuzi
-
Na Ahmed Sagaff Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeidhinisha
bajeti ya shilingi trilioni 3.867 ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kwa Mwaka
wa Fedha...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni