WAWILI WAJITOKEZA KUMNG'OA WALLACE KARIA TFF, WACHUKUA NAYE FOMU LEO KUWANIA URAIS KATIKA UCHAGZI WA AGOSTI 7 TANGA
WADAU wawili wamejitokeza kuwania Urais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) dhidi ya Wallace John Karia anayeshikilia nafasi hiyo katika uchaguzi uliopangwa kufanyika Agosti 7 mwaka huu Jijini Tanga. Hao ni Evans Mgeusa na Zahor Mohamed Hajji ambao wote wamechukua fomu leo kwa gharama ya Sh. 500,000 pamoja na Karia. Zoezi la uchukuaji fomu linatarajiwa kuendelea hadi Jumamosi Saa 10:00 jioni makao makuu ya TFF, Uwanja wa Karume Jijini Dar es Salaam au kupitia tovuti ya shirikisho hilo.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment