BULLS ACADEMY WATWAA UBINGWA WA DAR YOUTH CUP WASICHANA U13, FEZA WASHIKA NAFASI YA PILI
TIMU ya shule ya Bulls Academy imeibuka mshindi wa kwanza kwa upande wa wasichana chini ya umri wa miaka 13 katika michuano ya Dar Youth Cup 2021 inayofanyika kwenye Viwanja vya Gymkhana Jijini Dar es Salaam.
Kwa upande wao, Feza wameibuka washindi wa pili kwenye michuano hiyo.
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment