• HABARI MPYA

    Friday, June 18, 2021

    DAR ES SALAAM WATWAA UBINGWA WA UMITASHUMTA MICHUANO ILIYOFIKIA TAMATI LEO MJINI MTWARA

     JIJI la Dar es Salaam limetwaa ubingwa wa soka Mashindano ya Umoja wa Shule za Msingi Tanzania (UMITASHUMTA) 2021 iiyomalizika leo mkoani Mtwara.
    Akifunga mashindano hayo, Mgeni Rasmi Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Pauline Gekul, amewaomba wananchi kuendelea kutoa ushirikiano kama huo kwenye michezo ya UMISSETA inayotarajia kuanza Jumatatu Juni 21, 2021.

    *MATOKEO YA MASHINDANO YA UMITASHUMTA MWAKA 2021 MKOANI MTWARA.*

    _SOKA MAALUM_
    1. Njombe ✅ (Bingwa)
    2. Dsm
    3. Shinyanga

    SOKA WASICHANA
    1. Mwanza ✅ (Bingwa)
    2. Dsm
    3. Mara 

    _SOKA KAWAIDA_
    1. Dar es salaam ✅ (Bingwa)
    2. Mara
    3. Geita

    VOLLEYBALL WAVULANA
    1. Mwanza ✅ (Bingwa)
    2. Pwai
    3. Mara

    VOLLEYBALL WASICHANA
    1. Mtwara ✅(Bingwa)
    2. Mbeya
    3. Katavi

    HANDBALL WAVULANA
    1. Tanga ✅ (Bingwa)
    2. Mwanza
    3. Rukwa

    HANDBALL WASICHANA
    1. Mara ✅ (Bingwa)
    2. Morogoro
    3. Katavi

    NETBALL 
    1. Mwanza
    2. Mara
    3. Kigoma

    MPIRA WA GOLI (GOAL BALL) KWA WENYE UONI HAFIFU.

    WAVULANA:- 
    1. Morogoro ✅ (Bingwa)
    2. Rukwa
    WASICHANA
    1. Tanga ✅ (Bingwa)
    2. Morogoro

    RIADHA WAVULANA
    1. Simiyu ✅ (Bingwa) 
    2. Mara
    3. Manyara
    RIADHA WASICHANA
    1. Manyara ✅(Bingwa) 
    2. Mwanza
    3. Mara

    FANI ZA NDANI

    A. KWAYA
    1. Kagera ✅ (Bingwa)
    2.Kigoma
    3. Dsm

    B. NGOMA
    1. Tanga ✅ (Bingwa)
    2. Dsm
    3. Pwani

    USAFI NA NIDHAMU
    WAVULANA
           1. Morogoro
            2. Mara
            3. Tanga
    WASICHANA
             1. Mtwara
             2. Dodoma
             3. Manyara

    SANAA ZA MAONESHO 
    Mshindi wa Jumla Ni Mkoa wa Dar es salaam

    *BINGWA WA JUMLA UMITASHUMTA MWAKA 2021 NI Mkoa wa MARA .*
    *Wamekusanya Vikombe 9 wakiwaacha wenzao kwa mbali sana .......*
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DAR ES SALAAM WATWAA UBINGWA WA UMITASHUMTA MICHUANO ILIYOFIKIA TAMATI LEO MJINI MTWARA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top