• HABARI MPYA

    Tuesday, May 25, 2021

    TANZANIA YAANZA VIBAYA FAINALI ZA SOKA LA UFUKWENI AFRIKA BAADA YA KUCHAPWA 4-3 NA UGANDA JIJI DAKAR


    TANZANIA jana ilianza vibaya Fainali ya soka la Ufukweni baada ya kufungwa 4-3 na Uganda kwenye mchezo wa Kundi A fukwe za Bahari ya Atlantic Jijini Dakar, Senegal.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TANZANIA YAANZA VIBAYA FAINALI ZA SOKA LA UFUKWENI AFRIKA BAADA YA KUCHAPWA 4-3 NA UGANDA JIJI DAKAR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top