// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MAN CITY YAIPIGA CRYSTAL PALACE 2-0 NA KUZIDI KUUKARIBIA UBINGWA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMAN CITY YAIPIGA CRYSTAL PALACE 2-0 NA KUZIDI KUUKARIBIA UBINGWA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MAN CITY YAIPIGA CRYSTAL PALACE 2-0 NA KUZIDI KUUKARIBIA UBINGWA
MABAO ya Sergio Aguero dakika ya 57 na Ferran Torres dakika ya 59 jana yaliipa Manchester City ushindi wa 2-0 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Selhurst Park Jijini London. Sasa Manchester City imefikisha pointi 80 baada ya kucheza mechi 34 na kuendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi 13 zaidi ya Manchester United ambao hata hivyo wana mechi moja mkononi.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment