• HABARI MPYA

    Thursday, May 27, 2021

    MMOJA TU APITISHWA KUGOMBEA UENYEKITI WA CHAMA CHA WANASOKA TANZANIA UTAKAOFANYIKA MWEZI UJAO NCHINI

     MWENYEKITI wa Chama cha Wachezaji Tanzania (SPUTANZA) Mussa Mohamed Kisoki pekee amepitishwa kugombea tena nafasi hiyo katika uchaguzi utakaofanyika Juni 18, mwaka huu.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MMOJA TU APITISHWA KUGOMBEA UENYEKITI WA CHAMA CHA WANASOKA TANZANIA UTAKAOFANYIKA MWEZI UJAO NCHINI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top