WACHEZAJI wa timu ya taifa ya Soka la Ufukweni wakiwa katika picha ya pamoja na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi walipomtembelea leo nyumbani kwake visiwani Zanzibar.
Timu hiyo imeweka kambi Zanzibar kujiandaa na fainali za Afrika za soka la ufukweni zitakazofanyika Jijini Dakar, Senegal mwishoni mwa mwezi huu.
0 comments:
Post a Comment