FEI TOTO AIPELEKA YANGA FAINALI ASFC, SIMBA YALALA 1-0
VIGOGO, Yanga SC wamefanikiwa kwenda Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya mahasimu, Simba SC jioni ya leo Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. Pongezi kwa mfungaji wa bao hilo pekee, kiungo Mzanzibari, Feisal Salum Abdallah ‘Fei Toto’ dakika ya 25 akimalizia pasi ya kiungo Mganda, Khalid Aucho. Sasa Yanga itakutana na mshindi kati ya Azam FC na Coastal Union zitakazomenyana kesho Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha katika Fainali Julai 2 huko huko Arusha.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment