• HABARI MPYA

    Saturday, May 28, 2022

    KIKOSI CHA YANGA SC KINACHOANZA LEO DHIDI YA SIMBA

    KOCHA Mtunisia wa Yanga, Nasreedin Mohamed Nabi amewaaanzisha pamoja washambuliaji Wakongo, Fiston Kalala Mayele na Heritier Ma Olongi Makambo katika mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) dhidi ya watani wa jadi, Simba jioni hii Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KIKOSI CHA YANGA SC KINACHOANZA LEO DHIDI YA SIMBA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top