// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); SANCHEZ AIPA USHINDI ARSENAL, YAILAZA SOUTHAMPTON 1-0 EMIRATES - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SANCHEZ AIPA USHINDI ARSENAL, YAILAZA SOUTHAMPTON 1-0 EMIRATES - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Thursday, December 04, 2014

    SANCHEZ AIPA USHINDI ARSENAL, YAILAZA SOUTHAMPTON 1-0 EMIRATES

    BAO pekee la Alexis Sanchez kwa mara nyingine limethibitisha thamani yake Arsenal baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Southampton Uwanja wa Emirates.
    Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Chile, alifunga bao hilo pekee dakika ya 89 akimalizia kazi nzuri ya Aaron Ramsey baada ya wageni kubaki 10 kufuatia kuumia kwa Toby Alderweireld wakati wamemaliza idadi ya wachezaji wa kubadili.
    Ushindi huo wa kikosi cha Arsene Wenger unaipeleka timu hadi nafasi ya sita kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya England, wakati Southampton inabaki nafasi ya tatu, mbele ya Manchester United.
    Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez (mbele) akimtoka beki wa Southampton, Nathaniel Clyne
    Mshambuliaji wa Arsenal, Danny Welbeck (katikati) akipambana kwenye eneo la hatari la Southampton 

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2859811/Arsenal-1-0-Southampton-Alexis-Sanchez-proves-Gunners-hero-late-winner-moves-sixth.html#ixzz3KsIEkKeX
    Follow us: @MailOnline on Twitter | DailyMail on Facebook
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SANCHEZ AIPA USHINDI ARSENAL, YAILAZA SOUTHAMPTON 1-0 EMIRATES Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top