// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); HABARI NJEMA MAN UNITED, ROONEY FITI KUWAVAA SOUTHAMPTON - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE HABARI NJEMA MAN UNITED, ROONEY FITI KUWAVAA SOUTHAMPTON - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Thursday, December 04, 2014

    HABARI NJEMA MAN UNITED, ROONEY FITI KUWAVAA SOUTHAMPTON

    MSHAMBULIAJI Wayne Rooney yuko tayari kuichezea Manchester United katika mechi dhidi ya Southampton Jumatatu, baada ya kuukosa mchezo wa jana dhidi ya Stoke City kwa sababu ya majeruhi.
    Inafahamika kwamba Rooney alisema mwenyewe yuko fiti juzi asubuhi baada ya kujiumiza mwenyewe kufuatia kujigonga kwenye bango la matangazo uwanjani katika mechi dhidi ya Hull City mwisho mwa wiki, lakini United ikaamua kupumzika katika mchezo wa Jumanne usiku.
    Nahodha huyo wa United na England alifanyiwa vipimo leo na kuonekana kweli yuko fiti kabisa, hivyo anatarajiwa kurejea katika kikosi cha Louis van Gaal Uwanja wa St Mary’s.
    But the United and England captain has now been declared fit to play against Southampton on Monday
    Wayne Rooney atakuwepo kwenye mechi dhidi ya Southampton Jumatatu
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HABARI NJEMA MAN UNITED, ROONEY FITI KUWAVAA SOUTHAMPTON Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top