Jeneza lililobeba mwili wa mcheza Kriketi Phillip Joe Hughes aliyefariki wiki iliyopita likiwasili mjini Macksville, nje kidogo ya Jiji la Sydney, Australia leo tayari kwa mazishi. Hughes alifariki dunia baada ya kugongwa na gongo la kuchezea Kriketi kichwani na Sean Abbott wakati akiichezea Australia Kusini katika mchezo wa Ngao ya Sheffield kwenye viwanja wa Kriketi Sydney. ![The front page of the order of service for Hughes's funeral, where thousands are expected to pay their respects](https://lh3.googleusercontent.com/blogger_img_proxy/AEn0k_vpwZ1bFPsI5nwx4SgPlAmegHvr9bNUdfyfuMVutBtFB4yj2gzeb0qcHf4nXySF89rQCCfEIWofg0EnqmpZxnXZazPo7npd8blMmeMMJMqNRNwF0npqz2NLIQXDzwx3OBS7a0VJaB55Z99AtcwtUtkb4iOI6slrVcIjw3486wVwuY4ldJAFnYVOUMbQDwhPI7I4TsHdJiCXEGMW9j77hMHGDpNvnY5JuwUEi8Rrb7bNe46qDT9_WCr6DXNG=s0-d)
NFL Rumors: Jordan Love, Packers Agree to 4-Year, $220M Contract Extension
-
After leading the Green Bay Packers to the playoffs this past season,
quarterback Jordan Love has been rewarded with a new deal. According to
ESPN's Adam…
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment