Jeneza lililobeba mwili wa mcheza Kriketi Phillip Joe Hughes aliyefariki wiki iliyopita likiwasili mjini Macksville, nje kidogo ya Jiji la Sydney, Australia leo tayari kwa mazishi. Hughes alifariki dunia baada ya kugongwa na gongo la kuchezea Kriketi kichwani na Sean Abbott wakati akiichezea Australia Kusini katika mchezo wa Ngao ya Sheffield kwenye viwanja wa Kriketi Sydney. 
Jimmy Kimmel Nails Trump With Damning Damage-Control Supercut Video
-
The late-night host said the president has had to do "a lot of tap-dancing"
after his comments about the pope.
7 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment