Jeneza lililobeba mwili wa mcheza Kriketi Phillip Joe Hughes aliyefariki wiki iliyopita likiwasili mjini Macksville, nje kidogo ya Jiji la Sydney, Australia leo tayari kwa mazishi. Hughes alifariki dunia baada ya kugongwa na gongo la kuchezea Kriketi kichwani na Sean Abbott wakati akiichezea Australia Kusini katika mchezo wa Ngao ya Sheffield kwenye viwanja wa Kriketi Sydney. 
World Cup: France beat Norway 4-1 as Dembélé hits hat-trick
-
France maintained their perfect start to the 2026 FIFA World Cup with a
commanding 4-1 victory over Norway on Friday, thanks to a first-half
hat-trick fr...
10 hours ago


.png)
0 comments:
Post a Comment