Ni Namungo waliotangulia kwa bao la Ibrahim Abdallah dakika ya 47, kabla ya Maabad Maulid kuisawazishia Coastal Union kwa penalti dakika ya 60.
Kwa matokeo hayo kwa mchezo wa 19 kwa kila timu, Coastal Union wanafikisha pointi 17, ingawa wanabaki nafasi ya 14, wakati Namungo inafikisha pointi 26 na inabaki nafasi ya tano.
0 comments:
Post a Comment