// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); TANZANIA PRISONS YASAJILI WATANO DIRISHA DOGO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE TANZANIA PRISONS YASAJILI WATANO DIRISHA DOGO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Monday, January 16, 2023

    TANZANIA PRISONS YASAJILI WATANO DIRISHA DOGO


    KLABU ya Tanzania Prisons imesajili wachezaji watano wapya katika dirisha hili dogo ili kukiongezea nguvu kikosi chake kuelekea simu iliyobaki ya msimu.
    Hao ni kipa Benedict Tinocco aliyesaini miaka miwili, viungo Mohamed Ibrahimu ‘Mo’ mwaka mmoja na nusu, Shaaban Kisiga mwaka mmoja, Lambert Charlse Sabiyanka na winga Meshack Suleiman kutoka Nyasa Big Bullets ya Malawi aliyesaini miaka mitatu.
    Aidha, Tanzania Prisons imewatakia kila la heri wachezaji walioondoka, kipa Hussein Abel na kiungo Mudathir Abdallah.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TANZANIA PRISONS YASAJILI WATANO DIRISHA DOGO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top