NAMUNGO YATOKA SULUHU NA CHIPUKIZI KOMBE LA MAPINDUZI
TIMU ya Namungo FC imelazimishwa sare ya bila kufungana na Chipukizi katika mchezo wa Kundi D Kombe la Mapinduzi leo Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Sasa Namungo FC watalazimika kushinda mechi ya mwisho dhidi ya Aigle Noir ya Burundi keshokutwa ili kuangalia nafasi ya kwenda Nusu Fainali.
Zambia Copper Queens to participate in Turkish Cup
-
The Zambia Senior Women’s National Team will take part in the Turkish
Women’s Cup to be held from 13-22 February 2023 in the resort town of
Alanya, Turke...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment