// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); GEITA GOLD YATOKA SARE 1-1 NA POLISI TANZANIA 1-1 NYANKUMBU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE GEITA GOLD YATOKA SARE 1-1 NA POLISI TANZANIA 1-1 NYANKUMBU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, January 20, 2023

    GEITA GOLD YATOKA SARE 1-1 NA POLISI TANZANIA 1-1 NYANKUMBU

     

    WENYEJI, Geita Gold wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Polisi Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Nyankumbu mjini Geita.
    Geita walitangulia kwa bao la mshambuliaji Elias Maguri dakika ya 25, kabla ya Salum Ally kuisawazishia Polisi Tanzania dakika ya 90.
    Kwa matokeo hayo, Geita Gold imefikisha pointi 28, katika mchezo wa 21, ingawa inabaki nafasi ya tano ikizidiwa pointi 12 na Singida Big Stars ambayo pia ina mechi moja mkononi.
    Kwa upande wao Polisi Tanzania wanafikisha pointi 15 katika mechi ya 21 na kusogea nafasi ya 15.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: GEITA GOLD YATOKA SARE 1-1 NA POLISI TANZANIA 1-1 NYANKUMBU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top