Mabao ya Azam FC yamefungwa na Ismail Aziz dakika ya 34 na Abdul Suleiman ‘Sopu’ mawili yote kwa penalti dakika ya 52 na 81.
Kwa matokeo hayo, Azam FC inamaliza mechi zake za Kundi A ikiwa na pointi nne, sawa na Malindi ambayo kwa kuizidiwa wastani wa mabao wanaungana na Jamhuri kuaga mashindano.
0 comments:
Post a Comment