• HABARI MPYA

    Saturday, January 21, 2023

    UCHAGUZI MKUU SIMBA SC KUFANYIKA JULIUS NYERERE CENTRE


    UCHAGUZI Mkuu wa klabu ya Simba utafanyika katika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam Januari 29, mwaka huu kuanzia Saa 2:00 asubuhi.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: UCHAGUZI MKUU SIMBA SC KUFANYIKA JULIUS NYERERE CENTRE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top