WENYEJI, Brighton & Hove Albion wamesonga Raundi ya Tano ya Kombe la FA England baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Liverpool leo Uwanja wa The Amex, Falmer, East Sussex.
Mabao ya Brighton & Hove Albion yamefungwa na Lewis Dunk dakika ya 39 na Kaoru Mitoma dakika ya 90 na ushei, wakati la Liverpool limefungwa na Harvey Elliott dakika ya 30.
0 comments:
Post a Comment