• HABARI MPYA

    Sunday, January 29, 2023

    LIVERPOOL YATUPWA NJE KOMBE LA FA ENGLAND


    WENYEJI, Brighton & Hove Albion wamesonga Raundi ya Tano ya Kombe la FA England baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Liverpool leo Uwanja wa The Amex, Falmer, East Sussex.
    Mabao ya Brighton & Hove Albion yamefungwa na Lewis Dunk dakika ya 39 na Kaoru Mitoma dakika ya 90 na ushei, wakati la Liverpool limefungwa na Harvey Elliott dakika ya 30.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YATUPWA NJE KOMBE LA FA ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top