• HABARI MPYA

    Friday, January 06, 2023

    NAMUNGO FC YATINGA NUSU FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI


    BAO pekee la Hassan Kabunda dakika ya 62 limeipa Namungo FC ushindi wa 1-0 dhidi ya Aigle Noir ya Burundi katika mchezo wa mwisho wa Kundi D Kombe la Mapinduzi leo Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
    Kwa ushindi huo, Namungo FC inamaliza na pointi nne kileleni mwa Kundi D mbele ya Chipukizi yenye pointi mbili na Aigle Noir pinto moja hivyo kwenda Hatua ya Nusu Fainali.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NAMUNGO FC YATINGA NUSU FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top