• HABARI MPYA

    Wednesday, January 25, 2023

    MUSONDA NA AZIZ KI WAFUNGA YANGA YASHINDA 2-0 KIGAMBONI


    TIMU ya Yanga imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Transit Camp katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Avic Town, Somangira, Kigamboni nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
    Mabao ya Yanga leo yamefungwa na mshambuliaji mpya, Mzambia, Kennedy Musonda na kiungo mshambuliaji wa Kimataifa wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MUSONDA NA AZIZ KI WAFUNGA YANGA YASHINDA 2-0 KIGAMBONI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top