Pongezi kwa mfungaji wa bao hilo, chipukizi aliyeoandishwa kutoka timu ya vijana, Michael Joseph dakika ya 41 na sasa Simba wanamaliza na pointi tatu nyuma ya vinara, Mlandege wenye pointi nne ambao wanakwenda Nusu Fainali.
KVZ iliyomaliza na pointi moja mkiani pia inaungana na Simba kuipa mkono wa kwaheri mapema tu michuano ya mwaka huu.
0 comments:
Post a Comment